TTCL

EQUITY

Wednesday, December 16, 2015

KAMPENI ZA MGONBEA UBUNGE LUDEWA ZASHIKA KASI WANANCHI WAMTANDIKIA NGUO

Mgombea Ubunge ccm jimbo la Ludewa Bw Deo Ngalawa akipita juu ya kanga zilizotandikwa na wapiga kura wake wakati wa mikutano yake ya kampeni za lalasalama

Mbunge wa viti maalum mkoa wa Njombe Dr Suzana Kolimba na Katibu mwenezi wa Ccm mkoa wa Njombe Bw Mgaya wakijumuika na Ngalawa na wasanii kucheza Ngoma

Wananchi wakimshangilia Mgombea Ubunge wa ccm 

Deo Ngalawa akiwa katika mkutano wa kampeni za Ubunge Ludewa 

No comments:

Post a Comment