Angalia jamaa huyu alivyokuwa na wakati mgumu.
Uvaaji wa mavazi yasio na heshima sehemu za kazi una athari nyingi,
Kwanza hushusha thamani yako mwenyewe na kutharaulika na wafanya kazi
wenzako, hupoteza umakini wa kazi kwa jinsia nyingine pia huleta picha
mbaya ya kampuni au mahala hapo pa kazi.
No comments:
Post a Comment