Wanaharakati wa haki za binadamu nchini Angola wapinga kufanyika kwa show ya Nicki Minaj nchini Humo.
Minaj anatarajiwa kufanya show jumamosi ya wiki hii December 9 2015,
Show hii imeandaliwa kama zawadi kwa raia wa Angola na kampuni ya simu
ya Unitel inayomilikiwa na rais wa Angola ‘Jose Eduardo Dos Santos’.
Rais wa taasisi hii ya Human Rights Foundation Thor Halvorssen
amemuandikia Nicki Minaj barua kumuomba asitishw kuja kwenye show hio
sababau pesa anazolipwa ni jasho la watu wa Angola na zimetokana na
rushwa kubwa ya serikali hio.
Thor aliandika ” The Paymen you are receiving from your Angolan
Sponsors is the result of government corruption and human right
violations ”
Rais Jose Eduardo Dos Santos yupo madarakani tangu mwaka 1979.
No comments:
Post a Comment