TTCL

EQUITY

Monday, April 25, 2016

Habari Picha; Yaliyojili Bungeni Dodoma Leo

IMGS2819
 Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa akiteta na Mbunge wa Mwibara, Kange Lugola, bungeni mjini Dodoma mapema leo Aprili 25, 2016.

IMGS2749 
Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa akiteta na Waziri wa maliasili na Utalii, Profesa Jumanne Maghembe.

IMGS2690
IMGS2729
 Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa akiteta na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sere, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu, Jenista Mhagama (katikati na Mwanansheria Mkuu wa Serikali, George Masaju.

IMGS2553
Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa akiteta na   Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sere, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu, Jenista Mhagama.

IMGS2574
Waziri Mkuu, Majaliwa akiteta na Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Phillip Mpango

IMGS2782
 Waziri wa Maliasili na Utalii, Profesa Jumanne Maghembe (kulia) akiteta na Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dkt. Hussein Mwinyi.

IMGS2838
Mwenyekiti wa Bunge Dkt. Mary Mwanjelwa  (kushoto) akiteta na Mbunge wa Viti Maalum Grace Kiwelu.

IMGS2875Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiteta na Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu

IMGS2950
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiteta na Mbunge wa Busanda, Lolesia Bukwimba kwenye viwanja vya bunge mjini Dodoma mapema leo Aprili 25, 2016. Katikati ni Mbunge wa Urambo, Margaret Sitta.

No comments:

Post a Comment