TTCL

EQUITY

Thursday, February 18, 2016

CRDB yaadhimisha miaka 20 toka kuanzishwa kwake

Mkurugenzi mtendaji wa BENKI YA CRDB amesema benki hiyo imekuwa na maendeleo ya kuridhisha tangu kuanzishwa kwake miaka 20 iliyopita
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei akifafanua jambo wakati wa uzinduzi wa maadhimisho ya sherehe za miaka 20 ya benki hiyo uliofanyika jijiniDar es Salaam
Akizindua sherehe za maadhimisho ya miaka 20 ya benki ya CRDB,  DAKTA KIMEI amesema katika kipindi hicho amana zimeongezeka kutoka shilingi bilioni 40 hadi shilingi tririoni 4.2 na mikopo imeongezeka kutoka shilingi bilioni mbili hadi kufikia shilingi tririoni 3.3.

No comments:

Post a Comment