TTCL

EQUITY

Thursday, April 2, 2015

BOMU LA KURA YA MAONI LATEGULIWA

Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi Tanzania,Jaji mtaafu Damian Lubuva akitoa tamko.

Tume ya Uchaguzi wa taifa la Tanzania, kukabiliwa na na msisitizo wa muda mrefu wa wananchi juu ya kuahirishwa kwa tarehe ya kufanyika kura ya maoni kuhusu katiba inayopendekzwa na tume hiyo kutoa msimamo kwamba tarehe haitobadilika, leo hii tume hiyo imetoa kauli tofauti. Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi , Jaji Mstaafu Damian Lubuva ametangaza kuwa zoezi hilo la kura ya maoni limeahirishwa, jambo ambalo limezua hisia tofauti nchini humo.

No comments:

Post a Comment