TTCL

EQUITY

Wednesday, March 13, 2013

Arsenal wafunga 2-0 lakini watolewa.

Olivier Giroud afunga bao

Licha ya kuifunga Bayern Munich ya Ujerumani mabao mawili kwa bila ugenini, Arsenal waondolewa katika mashindano ya Klabu bingwa bara Ulaya.
Hii ni kwa sababu katika mechi ya awali iliyochezwa wiki mbili zilizopita katika Uwanja wa Emirates, Arsenal walifungwa magoli 3-1 na Bayern.
Kufuatia bao hilo Arsenal wakawa wanahitaji magolo mengine mawili ili kumaliza mechi wakuwa juu kwa 3-0.
Mlinda lango wa Arsenal Lukasz Fabianski alifanya kazi ya ziada kwani alipangua mikwaju kadhaa kutoka kwa mshambulizi matata Arjen Robben hivyo kumnyima nafasi ya kuifungia Bayern Munich goli lolote.
Lakini baada ya mechi , Bayern Munich ndio walifaulu kuingia hatua ya robo fainali.

No comments:

Post a Comment