TTCL

EQUITY

Tuesday, February 7, 2017

UPDATE TAARIFA KUTOKA MAHAKAMANI


Takriban watuhumiwa 10 wa dawa za kulevya ambao ni miongoni mwa watu waliotajwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu asubuhi hii.
Miongoni mwa waliofikishwa mahakamani hadi hivi sasa ni wasanii Rommy Jones, TID, Babuu wa Kitaa, Petit Man, Tunda (model wa kike) na wengineo.

 Image may contain: 4 people, people sitting
 Image may contain: 2 people, outdoorImage may contain: one or more people, people sitting and indoor

No comments:

Post a Comment