TTCL

EQUITY

Thursday, November 28, 2013

Mikoa 11 kuingizwa kwenye mfumo wa dijitali ndani ya miezi3-8 ijayo, yasema TCRA.

Mikoa 11 kuingizwa kwenye mfumo wa dijitali ndani ya miezi3-8 ijayo, yasema TCRA 
Mkurugenzi Mkuu wa mamlaka ya mawasiliano Tanzania Profesa, John Nkoma alikuwa akiongea kwenye maadhimisho ya miaka 10 tangu kuanzishwa kwa mamlaka hiyo na kuelezea ratiba hiyo.
Mpaka sasa makampuni ya StarTimes Media Limited, Basic Transmission na Agape Associates Limited ndiyo yanayohusika na utoaji wa huduma ya matangazo hayo.
Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia Makame Mbarawa, alisema ndani ya miezi mitatu hadi minane mikoa mingine itahamia dijitali pia.

No comments:

Post a Comment