TTCL

EQUITY

Wednesday, December 9, 2015

UWEKEZAJI JIJI LA ARUSHA

 
Kaloleni C:
Eneo lilipendekezwa kujengwa jengo refu (Arusha City Tower) litakalokuwa na Mgahawa unaozunguka kwa ajili ya kuhamasisha Utalii wa ndani. Pia, huduma za kiajamii mfano; kumbi za mikutano, ofisi za kukodisha, mgahawa, uegeshaji wa magari na huduma za kifedha (ATMs).

No comments:

Post a Comment