TTCL

EQUITY

Wednesday, March 18, 2015

Unyama wafanyika Arusha ni baada ya binti kuingiziwa chupa sehemu za siri na wanawake wenzake

Binti mmoja mkoani Arusha adaiwa kuingiziwa chupa  ya soda sehemu za siri kwa kile kilichodaiwa (Umbea) kuwateta wenzake kwamba ni malaya. bado tunaendelea kufuatilia tukio hili, na tutakufahamisha kadiri ya taarifa zitakavyotufikia.

       picha ikimuonyesha binti aliyejitambulisha kwa jina la Bi.ngowi ambaye hakupenda sura yake iwekwe kwenye mtandao huu.

No comments:

Post a Comment