Utangazji kwenye TV
Salim Kikeke, mtangazaji wa Dira ya Dunia ya BBC Swahili anakushauri namna ya kuwa makini wakati wa utangazaji.
Video player
This video player works best in IE if using a the Jaws or NVDA screen readers.Jump media playerScreen reader helpThe next item is the video player
Salim Kikeke anaeleza mambo gani ya kuzingatia anapokuwa mbele ya kamera, vipi anasoma maandishi katika autocue na autocue yenyewe inapozimika ghafla anafanyaje.
Uhodari ni kuweza kutangaza, kwa lugha nyepesi, huku wapewa maelekezo sikioni.
No comments:
Post a Comment