![]() |
| Mwenyekiti wa CHADEMA Ezekiel King mwenye shati la kijani akiteta jambo na jamaa zake mara baada ya kuhukumiwa kwenda jela miaka 7 kwa kosa la kumjeruhi mtu kilabuni |
![]() |
| Askari polisi wakimsindikiza Mwenyekiti wa CHADEMA baada ya kuhukumiwa kifungo cha miaka 7 jela |
![]() |
| Mmoja wa jamaa waliohudhuria mahakamani akimwaga machozi baada ya Mwenyekiti wa CHADEMA mtaa wa Itiji kuhukumiwa kifungo cha miaka 7 kwa kujeruhi |









No comments:
Post a Comment