TTCL

EQUITY

Monday, November 18, 2013

Walichofanya wanawake hawa na kuistaajabisha dunia

tumblr_inline_mju2lkpUoi1qz4rgp

Mnamo Agost 23, 1973, majambazi wawili wenye silaha aina ya machine gun, walivamia benki moja jijini Stockholm, Sweden. Mmoja kati yao ambaye Alikuwa ametoroka jela siku chache nyuma, Jan-Erik Olsson alitangaza kwamba, “Shughuli imeanza.” Majambazi hao waliwashikilia mateka watu wanne, wanawake watatu na mwanaume mmoja. Mateka hao walifungwa mabomu miilini na..read more

No comments:

Post a Comment