TTCL

EQUITY

Tuesday, February 7, 2017

Msukuma amtaka Paul Makonda aeleze ni wapi anatoa pesa za kwenda kupumzika Paris na Marekani


Vyanzo vya Taarifa katika Kikao cha Bunge kilichoendelea jana jioni, Mbunge wa Geita Ndugu Musukuma amemtuhumu RC Makonda kuwa naye anahusika na dawa za kulevya.

Amedai kawa RC Makonda kwa mshahara wa U RC aeleze ni akina nani walimsafirisha kwenda Marekani na PARIS.

Musukuma ameenda mbele zaidi kasema Makonda aanze na wakwake aliyowapangishia majengo

Tuhuma za Makonda kusafirishwa likizo Nje ya Nchi na kuwa waliomsafirisha wanahusika na madawa ya kulevya hivyo anawalinda inaibua maswali mapya. Je nani anagharimia safari za Makonda Nje ya Nchi.

Hii vita ni kubwa ndugu zangu Tazama Video Hapa Chini ilivyokuwa Bungeni Jana: 

No comments:

Post a Comment