TTCL

EQUITY

Wednesday, January 20, 2016

Raia Wa Ujerumani aitelekeza familia yake hotelini Dar

Raia wa Ujerumani (kulia) ambaye jinalake halikupatikana mara moja, ametiwa mbaroni na Jeshi la  Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam kwa tuhuma za kutaka kuitoroka familia yake katika  Hoteli ya Cate Dar es Salaam. Raia huyo alikuwa nchini na mkewe mwenye asili ya Afrika katika kipindi cha msimu wa sikukuu za mwisho wa mwaka. Alijaribu kumtoroka mkewe na mtoto (4) na kuwaacha wakidaiwa deni la Tsh. 315,000 baada ya kuzuka ugomvi baina yao.
 
_DSC0798
_DSC0799
Mtoto wao (4) akisaidiwa kupandishwa katika Gari.

_DSC0804
_DSC0813
Raia wa Ujerumani huyo akitaka kuruka toka katika Gari
 Mke wa Raia wa Ujerumani wa pili kulia akiwa anaingia katika Gari kuelekea katika Kituo cha Polisi cha Msimbazi Dar es Salaam na wapili kulia ni kaka wa mwanamke wa Raia wa Ujerumani.
Wananchi wakifatilia kwa karibu.

No comments:

Post a Comment