Ukitazama dhana ya elimu kwa kimantiki,lazima utapata wigo mpana wenye maana au tafsiri zaidi ya moja.Kutofautina huku kwa maana ni matakeo ya upeo wa mtu mmoja hadi mwingine.Na hizi ni nukuu saba(7)zilizopata kunenwa juu ya elimu
2."elimu ni mwanga"margaret fuller
3."elimu ni bahari haina mwisho"Mufti Menk
4."elimu ni kile kibakiacho baada ya kujifunza"Albert Einstein
5."elimu ni mstakabari kwa ajili ya kujitegemea"Mwl.Nyerere
6."elimu kama ni ghali basi jaribu ujinga" Derek Bok
7."elimu ni msingi wa maisha"christine Gregoire
No comments:
Post a Comment