Tyrese Ashindwa Kujizuia Kulia Kutokana Kifo Cha Paul Walker …
Msanii mkongwe wa miondoko ya R&B na Actor, Tyrese alishindwa
kjizuia kutoa machozi siku ya jana baada ya kutokea kifo cha rafiki yake
wa karibu ambaye ni actor mwenzake wa movie za Fast And Furious baada
ya kupata ajali mbaya ya gari iliyogonga mti na kulipuka hapo hapo.
No comments:
Post a Comment