TTCL

EQUITY

Thursday, October 30, 2014

Lulu vs Jokate

mtoto Lulu ni mrembo sana....hakuna anaebisha, Anapendeza kwa mavazi yakei na muonekano wake, aidha hana sifa ya ubabe, alihusishwa na kashfa kibao, pia ikiwemo kuambia amehusika katika mauaji n.k hii bado haikumfanya afedheheke bado amekua akifanya makubwa hasa yanayo husu maendeleo ya maisha yake

  
Mtoto mzuri Jokate, huyu amejawa sifa lukuki, kwanza ametunza heshima yake ya ustaa kama msanii na miss Tz, hana skendo za umalaya na pia sio muuza sura. ni mpangiliaji mzuri wa mavazi, haringi, wala hana pupa ijapokua ilisikika kuwa Wema amemwekea bifu kwaajilia ya penzi lake hakujali.

 


No comments:

Post a Comment