TTCL

EQUITY

Monday, December 9, 2013

TAZAMA PICHA 35 ZA DIAMOND, CHEGGE NA MWASITI WALIVYONOGESHA USHINDI WA STARS DHIDI YA UGANDA CHALLENGE MOMBASA USIKU WA KUAMKIA LEO


Msanii nyota wa Tanzania, Diamond Plutinums akiimba mbele ya umati wa mashabiki katika ufukwe wa hoteli ya Big Tree Beach Resort mjini Mombasa usiku wa kuamkia leo   katika onyesho maalum la wasanii wa kundi la Kigoma All Stars. Shoo hiyo ilifanyika saa chache baada ya timu ya Tanzania Bara, Kilimanjaro Stars kuitoa Uganda katika Robo Fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika Mashariki na Kati, CECAFA Challenge Uwanja wa Manispaa, Mombasa kwa penalti 3-2 baada ya sare ya 2-2 ndani ya dakika 90.    





Chegge wa TMK naye akifanya vitu vyake Mombasa



Mashabiki wa Tanzania walikuwepo ukumbini

Queen Darleen akiimba


Abdul Kiba alikuwepo pia

Maunda Zorro naye

Mwasiti pia

Hata Peter Msechu



Waandishi wa Habari za soka kutoka Tanzania, Somoe Ng'tu kulia na Zaituni Kibwana walikuwepo 

Mashabiki kwa raha zao

No comments:

Post a Comment