Hivi
sasa jamii inalia na mavazi ya nusu uchi.Lakini nadhani baada ya
kitambo kidogo dada zetu wataanza kutembea uchi......
Thamani ya mwanamke imepungua na maadili yamepotea.Kisa na mkasa ni Utandawazi huku wengine wakisingizia umasikini....
Kama tatizo ni umasikini basi ni bora turudi kijijini tukalime...
Thamani ya mwanamke imepungua na maadili yamepotea.Kisa na mkasa ni Utandawazi huku wengine wakisingizia umasikini....
Kama tatizo ni umasikini basi ni bora turudi kijijini tukalime...
Binadamu tumezidiwa hata na nyama kama Ng'ombe, tumeamua kufanana na Mbwa?
Dada zetu sidhani kwa mwendo huu kama pepo mtaiona...
No comments:
Post a Comment