TTCL

EQUITY

Friday, July 5, 2013

WEMA SEPETU AMTUMIA SHUSHUSHU D'JARO

D'JARO ARUNGU MMILIKI WA BLOG YA BABA MZAZI ACHIMBWA MKWARA NA ANAYEDAIWA KUWA SHUSHUSHU WA WEMA SEPETU,KISA KUWEKA STORY ZA WEMA KWENYE BLOG YAKE.

Huyu jamaa kwa picha hapo juu,kutokana na profile yake kwa facebook anajitambulisha kama Mpiga Picha wa Wema Sepetu anayekaa Kinondoni jijini Dar es Salaam na kwao ni Tarime.Hata hivyo yuko na account 2 kwa facebook.
Moja anatumia Bestizzo Blogger Tanzania na nyingine anatumia Bestizzo wa Big level.Ukimtafuta facebook kwa hayo majina unampata.


Huyu Mkurya kwa kweli nashindwa kuelewa anachonitafuta kwa Sababu simjui hanijui ila Tazizo eti mimi kuwa na Website yangu ndiyo inayomuuma roho.Tena anatamani kupasuka,na Kichwa inamuuma ajabu kuhusu website yangu ya   babamzazi.com.

Nasema hivyo kwa sababu mchana huu kaniibox kwa facebook ujumbe ambao umenikera na kuanza kumfuatilia kwa karibu ili nimjue ni nani na kugundua kuwa ni Mwana Blogger Mwenzangu,tena anajiita No 1 blogger in Tanzania.
Yeye yuko kwa hizi ishu kwa muda mrefu sana,almost miaka 8 nyuma.Mimi ndio kwanza mwezi 1 coz nlianza kupublish babamzazi.com tarehe 1june Mwaka huu.Means mpaka sasa ni mwezi 1 tu imepita.

Hivyo nakiri kuwa bado naitaji ushauri na kujifunza kwa walionitangulia kama yeye.

Madai yake ni kuwa kila wakati naandika Wema Sepetu nilidhani kazi ya kuendesha blog ni rahisi.
Kama kazi yangu ya Utangazaji kwa radio imenishinda i better find anything else to do.

Alianza kwa kusema......

''Unakosa habari zakuandika?????

maana nakuona unaangaika na habari za miaka kumi iliyopita

Wema Wema khaaaa!

Ulidhani kuendesha blog kazi ndogo?????

Fanya unachoweza..... kazi ya utangazaji ikikushinda fanya uwezacho''

Huyu Mkurya yeye ndio kazi ya kufanya hapa Town ameshindwa bora aende Kitunda akauze mayai au
arudi kijijini kwao Tarime akakate mkaa na Kuchunga mbuzi.

Niliposoma ujumbe wake alinipa akili ya kufuatilia blog yake na kugundua habari zote ni za Wema Sepetu.

Mara Wema akaribisha Bongo Movie kula kwake,
Wema anunua gari ya kifahari,
Wema sepetu amfanyia mtoto wa dada yake birthday,
Wema Sepetu aking'oa jino,
Duuuh This is too much bado tu aandike D'jaro Arungu anatoka na Wema.

Ukiingia http://www.babamzazi.com/ utaona utofauti mkubwa sana kati ya mimi na jamaa.
Ili uamini ninachosema kuhusu huyu jamaa link ya blog yake na ishu za Wema hizi hapa Chini.
http://bestizzo.blogspot.com/2013/04/bongo-movies-wapata-lunch-nyumbani-kwa.html
Hiyo moja nyingine hii
http://bestizzo.blogspot.com/2013/03/wema-sepetu-amfanyia-mtoto-wa-dada-yake.html
Na hii pia
http://bestizzo.blogspot.com/2013/02/picha-3-za-wema-sepetu-akingoa-jino.html
Zingine utajionea mwenyewe ukitembelea blog yake.

Pia katika book ukiingia ndani utakuta picha kibao za Wema.

Jamaa anastory ndefu kwa kweli zingine naona soo kutaja coz anamtindo wa kujifanya dem anaweka picha ya Dem theni anajifanya nipo form six Kowak nina shida kweli ntumie buku kumi.Kesho anajisahau nipo Ikizu secondary form six nimebanwa kweli ntumie buku 2 vocha.Ukimshtukia anakublock theni anabadilisha jina.

Ni hatari kwa kweli.
Pia angalia sana madada wanaojiita member wa Big Levol wezi watupu katika mtandaoni wakishirikiana na jamaa.
Ni hayo tu.
source:baba mzazi blog

No comments:

Post a Comment