aliyepinduliwa wajipanga kwa maandamano baada ya swala ya Ijumaa leo
Wafuasi wa chama cha Muslim Brotherhood wanaomuunga mkono Rais wa
Misri aliyeondolewa madarakani na Jeshi wameapa kuandamana nchi nzima
leo baada ya swala ya Ijumaa kupinga kuondolewa madarakani
No comments:
Post a Comment