TTCL

EQUITY

Tuesday, July 2, 2013

MASANJA, SHILOLE WATUA NCHINI MAREKANI TAYARI KUWASHA MOTO SIKU YA VIJIMAMBO


 
 
Juu na chini ni Wasanii Masanja mkandamizaji na Shilole katika picha ya pamoja na mwenyekiti wa kamati ya maandalizi wa sherehe ya miaka 3 ya Vijimambo na tamasha la Utamaduni wa Kiswahili, Bwn. Baraka Daudi alipokwenda kuwapokea walipotinga uwanja wa ndege wa kimataifa wa Dulles uliopo Sterling, Virginia.
 Asha Riz mjumbe aliyewawakilisha Tano Ladies kwenye mapokezi hayo akipata picha ya pamoja na wasanii Masanja Mkandamizaji na Shilole mara tu walipowasili uwanja wa ndege wa  kimataifa wa Dulles uliopo Sterling, Virginia.
Wasanii Masanja Mkandamizaji na Shilole wakielekea kuchukua usafiri kuelekea Washington, DC kwa Obama
 Shilole katika ukodak moment alipokua uwanja wa ndege wa kimataifa wa Dulles uliopo Sterling, Virginia.
 Masanja Mkandamizaji kwenye Ukondak Moment uwanja wa ndege wa kimataifa wa Dulles uliopo Sterling, Virginia.
 Msanja akionyesha uwanja wa Julius Nyerere wa Marekani "UNABISHA"


Shilole (kati) akipata picha ya pamoja na Bwn. Idd Sandaly(kushoto) Rais wa Jumuiya ya Watanzania DMV na mjumbe wa kamati ya maandalizi ya sherehe ya miaka 3 ya Vijimambo na Tamasha la Utamaduni wa kiswahili Marekani litakalofanyika Jumamosi July 6, 2013 Capitol Heights, Maryland. Kulia ni mwenyekiti wa kamati hiyo ya maandalizi, Bwn. Baraka Daudi.
Katibu wa kamati ya maandalizi ya sherehe ya miaka 3 ya Vijimambo na Tamasha la Utamaduni wa Kiswahili Marekani, Bi. Asha Nyang'anyi katika picha ya pamoja na Shilole kwenye TAMCO famuly day iliyofanyika Jumapili June 30, 2013.
Halima Ali (kati) akipata picha ya pamoja na Masanja Mkandamizaji na Shilole.
Wadau wa DMV wakipata picha ya pamoja na Shilole na Masanja.
Muhtar akipata picha ya pamoja na Masanja. 
Mrs Haward katika picha ya pamoja na Masanja na Shilole.
Wadau katika picha ya pamoja na Shilole.
Mr & Mrs Sebo wakipata Ukodak moment na Shilole.

No comments:

Post a Comment