
Serikali imesema kama sehemu
ya mikakati yake ya kudhibiti unywaji wa pombe maarufu kwa jina la
'viroba' itawaagiza wafanyabiashara wanaohusika kuzihamishia pombe hizo
kwenye chupa kubwa ili vijjana wanaozitumia waone aibu kuzibeba kila
wakati.
Mwijage amesema, pombe hizo zitakapohamishiwa kwenye chupa, gharama yake itakuwa kubwa kiasi cha kuwashinda wanafunzi kununua
Tazama Video......
No comments:
Post a Comment