Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, amefanya uteuzi wa Wakurugenzi
wakuu watatu wapya kuziba nafasia mbalimbali zilizokuwa wazi. Kwa mujibu
wa taarifa ya Ikulu imeeleza kuwa, Kwa mamlaka aliyonayo Rais,ameweza
kuteua watendaji wakuu hao watatu wa Serikali. (Soma zaidi) hapa chini.
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Hifadhi ya Jamii (NSSF) Prof. Godius Kahyarara aliyeteuliwa na Rais Machi 19.2016
No comments:
Post a Comment