TTCL

EQUITY

Tuesday, April 26, 2016

Mtanzania Anaswa na Unga wa Bil. 10

madawa 
Herry Mussa aliyenaswa na ‘unga’

Stori:  Makongoro Oging’ UWAZI
DAR ES SALAAM: Hii ni funga kazi sasa! Kuna habari kwamba, Mtanzania anayejulikana kwa jina la Herry Mussa Yange (42), amenaswa na polisi nchini Botswana akiwa na madawa ya kulevya ‘unga’ yenye thamani ya shilingi bilioni 10.5, Uwazi limefukunyua.

madawa sauzi (2)Polisi wakikagua mzigo huo.
  • ILIVYOKUWA
  • Alikuwa akiusafirisha kwa lori (semitrela).
  • Alitokea DRC na wenzake wawili.
  • Avuka mipaka ya nchi kadhaa, akamatiwa Sauzi.
madawa sauzi (3)Shehena ya unga aliyokamatwa nayo.
  • Polisi wa Sauzi wamstukia, watumia mbinu za Kiintelijensia kumnasa.
  • Akutwa na mifuko 141 ya Unga aina ya mandrax, paketi 1,000 ndani yake.
  • Wafunguliwa mashtaka hukohuko.
madawa sauzi (1)
  • Uwazi lanena na Kamanda wa Polisi wa Kitengo cha Kupambana na Kuzuia Madawa ya Kulevya Tanzania, ACP Mihayo Msikhela, alikiri kupokea taarifa hizo.
  • Kamanda wa Viwanja vya Ndege Tanzania, ACP Martin Otieno yeye anasemaje kuhusu Mtanzania huyo kama alipitia katika viwanja vya nchini kuelekea DRC?

No comments:

Post a Comment