TTCL

EQUITY

Wednesday, March 9, 2016

Daladala la Gongo la Mboto lagongana na lori la Ng’ombe alfajiri ya leo Jumatano

Alfajiri ya leo Jumatano, daladala linalotokea Gongo la Mboto kuelekea Mawasiliano limegongana na lori lilivyokuwa limebeba Ng’ombe na lori la mizigo, ajali hiyo imetokea eneo la Darajani kabla ya kufika Tabata Matumbi.
Mmoja wa shuhuda aliyekuwa eneo la tukio amesema kuwa daladala ilikuwa imejaza abiria na baada ya kufika eneo hilo yaligongana na kusababisha vifo vya baadhi ya abiria waliokuwa katika daladala hiyo.
Taarifa kamili zitafuata baadae.

20160308211407

No comments:

Post a Comment