TTCL

EQUITY

Wednesday, January 13, 2016

RAIS DKT. MAGUFULI NA RAIS MSTAAFU KIKWETE WAHANI MSIBA KWA MAMA MARIA NYERERE

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimpa pole Mama Maria Nyerere kufatia kufiwa na Mkwe wake Bi Leticia Nyerere aliyefariki huko nchini Marekani. Rais alikwenda nyumbani kwa Baba wa Taifa Msasani Dar es salaam kumpa pole Mama nyerere.
 
Rais Mstaafu Dk. Jakaya Kikwete akisaini kitabu cha Maombolezo nyumbani kwa Baba wa Taifa Msasani wakati alipokwenda kuhani msiba wa mwanafamilia Marehemu Leticia Nyerere aliyefaiki huko Marekani hivi karibuni.

No comments:

Post a Comment