TTCL
EQUITY
Friday, January 15, 2016
Halima Mdee ashinda kesi ya uchaguzi
Mbunge wa Jimbo la Kawe kwa tiketi ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Halima Mdee leo ameshinda kesi ya uchaguzi iliyofunguliwa dhidi yake na mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015, Kippi Warioba.
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment