Nicki Minaj ameshtua mashabiki wake December 9 kwa kuweka pete kubwa
ya almasi aliyopewa na Meek Mil.Nicki Minaj ’33’ alivyoweka pete hio
iliambatana na ujumbe wa kuikubali pete hio kutoka kwa mpenzi wake Meek
Mill ’28’ huku pakiwa na uvumi kuwa niwachumba sasa.
Hizi ndio picha za pete hio
Rapa Nicki Minaj amefanyiwa mahojiano na jarida la Billboard kuhusu mambo tofauti kwenye maisha hivi karibuni.
Nicki Minaj akiongelea kuhamia mjini Los Angeles na mpenzi wake Meek
Mill amesema ” Nimependa kuhamia huko sababu na imani ni pazuri na
nimeongea na Beyonce ambaye anaishi huko na ameniambia ni pazuri na
mambo ni raisi kufanya ukiwa LA, yeye anajiskia powa hata kwenda na
mtoto wake shuleni ” .
Kuhusu pete ya almasi aliyopewa na Meek Mill, Minaj anasema ”
hatujawa mtu na mchumba wake ila aliniahidi atanipa pete tatu kabla
hatujaowana na hii ni ya pili, birthday yangu inakuja so najua atanipa
yatatu kama alivyofanya mwaka jana “.
Nicki Minaj amesema ataanza kurekodi mixtape kama zamani sababu hajatoa mixtape kwa zaidi ya miaka kadha sasa.
No comments:
Post a Comment