TTCL

EQUITY

Sunday, December 7, 2014

Zifwatazo ni nukuu za watu mablimbali mashuhuri duniani



Mwalimu Nyerere; “Nibora kuishi na fikra hai kuliko kuishi na fikra zilizo kufa”
“Unaweza kuwadanganya watu wote kwa muda fulani  na baathi ya watu wakati wote ila uwezi kuwadanganya watu wote kwa wakati wote”

Abrahamu Linlccon: “Raisi wa 16 wa nchi ya Marekani: Serikali ya watu,inayowatumikia watu na iliyowekwa na nawatu haita potea duniani”

Nelson Mandela; “Elimu ni silaha yenye nguvu yenye uwezo wa kuibadilisha dunia.”
“Kichwa kizuri na moyo mzuri huwa na ushirika”

“Kama unataka kutengeneza amani na adui yako,tengeneza nae urafiki kisha atakuwa rafiki yako”


“Inatupasa tutumie muda vizuri na sikuzote tukumbuke ya kwamba muda huenda sahihi”

Thomas Jefferson: “Uaminifu ni ukurasa wa kwanza wa kitabu cha hekima”

  Lucille Ball: “Huwa najutia mambo niliyoyatenda kulikoo yale ambayo sikuyatenda”

Confucius: “Ukimia ni chanzo kikubwa cha nguvu”

Lao Tzu:“Kuwajua wengine ni hekima,kujijua mwenyewe ni marifa makubwa”

Benjamini Franklin: “Uaminifu ni sera nzuri”

Abrahan Maslow: “Ukiwa na nyundo unaona kila tatizo kama msumari”

Publilius Syrus: “Kutokana na makosa ya wengine mwenye hekima hujisahihisha”

Aritotle: “Matumaini ni matumaini yanayotembea”

Plato: “Maamuzi mazuri huegemea maarifa nasiyo umri”

John F. Kennedy: “Samehe adui zako lakini usisahau majina yao”

“Ushindi una baba wengi ila kushindwa ni yatima”

No comments:

Post a Comment