Mama mmoja anashikiliwa na Polisi huko Mwanza kwa kumkata uume kijana na pia kumwekea chupa sehemu za siri binti na kipigo juu kilichosababisha huyo binti kupoteza maisha.
Mwanza:
mama
mmoja aitwae ESTHER(35)anashikiliwa na jesh la polic jijin hapa kwa
makosa mawili tofauti,kosa la kwanza ni la kumkata uume kijana
mmoja(jina limehifadhiwa)aliye sadikika kumpa binti yake aitwae SUZ(19)
mimba,kosa la pili mama huyo huyo alimpiga na kumwekea chupa sehem za
siri msichana mmoja aitwae MARIAM(18) kwa madai ya kwamba ndiye
anaemfundisha binti yake huyo umalaya baada ya kipigo kikali na mateso
MARIAM alifariki dunia hiyo jana na mwili wake ulikutwa ume2pwa.Mtoto wa
mama huyo (MARIAM) alisema"mama siku zote alikuwa anataman kuua na
nadhan kusudio lake limetimia",baada ya kupata taarifa za mauaji aliyosababisha mama yake.
No comments:
Post a Comment