Hawa ni machizi ambao
wamekua wakionekana mara kwa mara na watu kuuliza kulikoni maana kila
kinachofanyika ni kama mtu na mpenzi wake, mara kwa
mara wamekua wakikiss (denda) na mwanaume ndio mara nyingi amekua
akitafuta chakula na pindi kinapopatikana basi mwanamke humkimbilia na
kumbusu mara kwa mara...!! Majuzi juzi mashahidi walikua karibu na eneo
wanaloishi hawa machizi waliwaona wakifanya tendo la ndoa.
No comments:
Post a Comment