TTCL

EQUITY

Tuesday, January 12, 2016

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amjulia hali Sumaye

sumaye 2
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na mkewe Mary (kushoto) wakizungumza na Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye amnaye amelazwa katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili kwa matibabu leo Januari 12, 2016. 

sumaye
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimpa pole Waziri Mkuu, Mstaafu Frederick Sumaye ambaye amelazwa katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili kwa matibabu leo Januari 12, 2016.

Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa na mkewe wamemtembelea na kumpa pole Waziri Mkuu Mstaafu Frederick Sumaye leo jijini Dar.
Mhe. Sumaye amelazwa katika Taasisi ya Jakaya Kikwete iliyopo katika Hospitali ya Taifa Muhimbili Jijini Dar es Salaam ambapo anaendelea na matibabu.

No comments:

Post a Comment