TTCL

EQUITY

Monday, October 20, 2014

SHILOLE ::Nuh Mkubwa Ndo Maana Kajua Utam Wa Mwanamke Ndo Maana Kaniganda! Wenywe Tumeridhiana! Shilole Kafunguka.


Msanii shilole ni moja kati ya wasanii ambao wame kuwa kwenye headline sana kuhusiana na mahusiano yao ya kimapenzi kati yake yeye na nuh ,Baada ya watu wengi kusikika wakisema shishi ni mkubwa kwa nuh shishi Baby kupiyia ukurasa wake wa instagram kaamua kufunguka haya. 

"Huyo nuh mnaosema ni mdogo kwangu! Kwani hajawaona 
wadogo wenzie mpka kanipenda mm?? Mtt mdogo 
angekuwa analilia mapenz ! Siangekuwa analilia ziwa kwa 
mama yake ! But ni mkubwa ndo maana kajua utam wa 
mwanamke ndo maana kaniganda! Wenywe tumeridhiana! 
Wivu tu unawasumbua nikiwa na mtu mzima mtasema lol 
shilole bwanaake babu nikiwa na kijiana mwenzangu oooh 
kitoto kidogo mnikome! Mnakuepogi chumban muona udogo aek ��������"Ameandika Shilole
 

No comments:

Post a Comment