TTCL

EQUITY

Wednesday, October 22, 2014

MSANII 'YP' KUZIKWA LEO!

MSANII 'YP' KUZIKWA LEO!

Mwili wa msanii 'YP' ambaye alifariki usiku wa kuamkia jana katika hospitali ya Temeke jijini Dar es salaam, unatarajiwa kuzikwa leo katika makaburi ya Chang'ombe.

John Ambikile kaka wa marehemu akizungumza kutoka Keko Marugumbasi ambako ndo msiba ulipo, alisema mwili wa mdogo wake utaagwa TCC Sigara Chang'ombe mida ya saa 8 mchana halafu safari yake ya mwisho ya kupelekwa kwenye nyumba yake ya milele, itafuatia.

Kwa mujibu wa rafiki wa marehemu aliyejulikana kwa jina la Davi alisema marehemu ameacha mtoto mmoja mwenye umri wa miaka 7 anayejulikana kama Amdi.

R.I.P 'YP'
Mwili wa msanii 'YP' ambaye alifariki usiku wa kuamkia jana katika hospitali ya Temeke jijini Dar es salaam, unatarajiwa kuzikwa leo katika makaburi ya Chang'ombe.
John Ambikile kaka wa marehemu akizungumza kutoka Keko Marugumbasi ambako ndo msiba ulipo, alisema mwili wa mdogo wake utaagwa TCC Sigara Chang'ombe mida ya saa 8 mchana halafu safari yake ya mwisho ya kupelekwa kwenye nyumba yake ya milele, itafuatia.
Kwa mujibu wa rafiki wa marehemu aliyejulikana kwa jina la Davi alisema marehemu ameacha mtoto mmoja mwenye umri wa miaka 7 anayejulikana kama Amdi.
R.I.P 'YP'

No comments:

Post a Comment