TTCL

EQUITY

Monday, May 5, 2014

Jackline Wolper afunguka juu ya mahusiano yake na Ney wa mitego



Jackline Wolper amefunguka kuhusiana  na moja ya shutuma zinazoendelea kumkabili kila anapoamka. Mdada huyo mwenye kujituma sana amefunguka kuhusu shutuma za kumuhusisha yeye na msanii mkali  wa Hiphop, Ney wa Mitego. Mwanadada huyo akiongea na Vibe Tanzania  alidai hajawahi kuwa hata na number ya Ney wa Mitego sasa akisikia kwamba ana mahusiano na mwana Hiphop huyo anashangaa sana kwani hata hajui maana halisi ya kuzagaa kwa maneno hayo  yasiyo na maana...



  
 

No comments:

Post a Comment