TTCL

EQUITY

Tuesday, April 8, 2014

Kongamano na maonyesho ya wanawake Wajasiriamali Tanzania yafana

Kongamano la wanawake Wajasiriamali Tanzania lilofanyika katika ukumbi wa Mbezi Garden Hotel lilifana , mada mbalimbali ziliwasilishwa katika kongamano hilo liliandaliwa na Tanzania Business Entreprenuers for Women(TBEW) wakiongozwa na Haika Lawere Mkurugenzi Mtendaji wa Mbezi Garden Hotel.
 
IMG_3300278346817_resized
Washiriki wakionyesha baadhi ya bidhaa zao.
 
Bi. Ashura Katunzi Kilewela wa TBS akiongelea umuhimu wa viwango katika bidhaa za kitanzania.
Paul Mashauri wa EASB akitoa mada katika kongamano hilo.
Benedict Mwambela, Mkufunzi toka ILO akitoa mada.
 
IMG_3355376330635_resized
Washiriki wa kongamanno ambao walikuwa wakionyesha bidhaa zao.

No comments:

Post a Comment