Anasema ‘nimeamua kusoma dua hii maalum na kumuita Shekh ili kumshukuru Mungu kwa kila nifanyacho na baraka zake nikaona sio vibaya nikitumia nafasi hii pia kuwaalika ndugu zangu kujumuika nao katika dua hii muhimu’-Young Killer
Waalikwa wa dua hii walikua ni wale kutoka familia yake anayoishi nayo Classic Sound pamoja na majirani wa nyumbani kwake.
No comments:
Post a Comment