TTCL

EQUITY

Friday, November 29, 2013

MH. RAIS JAKAYA KIKWETE APOKEA KOMBE LA DUNIA MWANZA...




Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akilifunua na kulinyanyua Kombe la Dunia katika uwanja wa michezo Kirumba mjini Mwanza leo jioni. Kombe hilo limerejea jijini Dar es Salaam na kesho wananchi watapata fursa ya kupiganalo picha.

No comments:

Post a Comment