Aaamua kushinda na taulo tuu, mtazame!
Katika picha kadhaa alizozikweka kwenye mtandao zikiwa na maelezeo
“Hata ukitembea uchi hamna ane kuuliza” Shilole ameonekana akiwa na taulo tuu akifurahia upepo na hali ya hewa ya mitaa hiyo kitu ambacho ni nadra na hawezi kukufanya akiwa nchini Tanzania.
Shilole yuko ziarani nchini Marekani pamoja na mwigizaji Masanja mkandamizaji
No comments:
Post a Comment