Vazi la khanga na vitenge limeonekana kurudi kwa kasi katika nchi ya
Tanzania, ambapo wanawake kwa wanaume wamekuwa wakishona nguo kwa
mitindo mbalimbali na hivyo kuchukua sura mpya katika mitindo.
Katika kipindi cha hivi karibuni wanawake kutoka sehemu mbalimbali jijini Dar es
salaam katika tamasha la kitchen party gala likiwa limebeba
ujumbe wa mwanamke simama na timiza ndoto zako.
Katika tamasha hilo pia ilichezeshwa droo ya kushinda safari ya
kwenda Afrika Kusini, kwa siku mbili alishinda, iliyodhaminiwa na
kinyago tours pia kulikuwa na droo ya kumtafuta mshindi wa safari ya
Mikumi National park.
No comments:
Post a Comment