MANENO KUNTU YA FAIZA ALLY SIKU YA BIRTHDAY PARTY YAKE
faizaally_Unakosaje
sasa birthday ya super star ✨ Faiza Ally na vivazi flan vyake amazing
๐ Tag rafiki yako mwambie twende zetu tukamuone live tupige nae picha
kwenye red capet ๐ท - huku tukiwa tuna rushwa na ngoma kali kutoka kwa
Dj @ huku tukipata cocktail na kuniselfisha ... Mtag mwenzio mwambie
twenzetu kwa @faizaally_
tukakate keti-๐ tucheze muziki ๐ถ tunywe๐ธ๐ป tupige picha๐ท
tufahamiane ๐ญ๐ซ๐ฌ na usisahau mambo mawili kama umezaliwa tarehe moja
Na mm njoo na keki tushereheke na mimi na ukipendeza kuni zidi nakupa
laki maana mpaka sasa sioni mm'bongo wa kunifunika hahaaa unakosaje
sasa๐ฏ๐ฏ๐ฏ na wakati sisi tunafurahi na huku tunafurahisha watoto yatima
kwa kuwanunulia mahitaji yao - ili ujumuike nasi piga cm number
0754242888 ili ujipatie tiketi yako mapema VUnakosaje sasa kama mm
ntakuwepo na mastaa kibao - njoo umependeza tujiselfishe ni siku ya
tarehe 17 December ni birthday ya mkali wa mavazi flan Hivi amazing ๐
Na ameahidi atakae mshinda anampaka laki moja yake mkononi maana amesema
haamini kama kuna mbongo atamfunika - kutakua na cocktail na red capet -
tuta rushwa na Dj rommys - tutaka keki na kila alie zaliwa tarehe hivyo
-tutakunywa tutacheza mziki - tutapiga Picha na wakati sisi tunafurahi
tunatengeneza tabasamu kwa mayatima kwa vile viingilio vyenu kupata
mahitaji yao - ili kutimiza yote hayo picha simu 0754242888 kupata
tiketi yako VIP 50000 na NORMAL 30000 wahi sasa tiketi Ni chache - MTAG
mwenzio mwambie twenzetu Kwa @faizaally
No comments:
Post a Comment