Aina hio ya nguo ya ambao ni kwa ajiri ya wanaume imekadiriwa kuuzwa kwa takribani £25, huku vazi hilo likiungwa mkono na watu maarufu kama Russel Brand na Justin Bieber.
Mara nyingi tumezoea kuona kitenge kikishonwa na kuvaliwa na
wanawake lakini kwa sasa kitenge kimeonekana kushika chati kwa
kunogesha mwonekano wa wanaume kwa kuchanganya na material ya nguo
nyingine tofauti na kitenge.hivyo kuwafanya wanaume wengi kutoka
kiafrika zaidi.
No comments:
Post a Comment