TTCL

EQUITY

Tuesday, December 2, 2014

Happy birthday Clouds FM, leo ni miaka 15 ya kuzaliwa !!

66cldsfm
December ni mwezi ambao Clouds Fm inasherehekea siku yake ya kuzaliwa ambapo leo vipindi mbalimbali vya Clouds Fm vimekuwa na ugeni tofauti tofauti ikiwemo Power Breakfast ambayo imemuhoji MD Joseph Kusaga alieelezea changamoto mbalimbali walizokutana nazo kwenye hii miaka 15 ya Clouds FM na mafanikio pia.
Wengine ni waliokuwa watangazaji wa Power Breakfast Masoud Kipanya na Fina Mango ambapo leo walikua live kwenye Power Breakfast, ambapo kwenye Leo Tena kuna ugeni wa Khadija Kopa, Diamond Sound na Tx Junior.

1cldsfm
3cldsfm
9cldsfm
10cldsfm
16cldsfm
17cldsfm
20cldsfm
22cldsfm
26cldsfm
25cldsfm
24cldsfm
28cldsfm
31cldsfm
35cldsfm
40cldsfm
45cldsfm
48cldsfm

No comments:

Post a Comment