Run DMC
Toka miaka ya 80 wasanii wemakuwa na kofia tofauti zinazo
watofautisha na wasanii wengine, LL Cool J ,Run D.M.Cwaligundua kofia
aina ya bucket hat ambayo kwa sasa anavaa sana Schoolboy Q. Hizi Picha
za wasanii wengine wenye tamaduni ya kuvaa kofia ya aina moja
Huweza kusahau Kofia ya T Pain.
Jay Z na kofi zake za New York
Ll Cool J
Msanii mpya asiyechana nywele School Boy Q
Notorious B.I.G
Pharrell Williams aliyetamba na wimbo wake uliofanya vizuri wa Happy
Picha nyingi za Andre 3000 utamkuta amevaa hizi kofia
No comments:
Post a Comment