Rapper kutoka Detroit, Michigan Big Sean amezungumzia album yake ya
tatu nakusema wasanii watakao husika ni Nicki Minaj,2 Chainz na Kanye
West . Big anasema ni muhimu Kanye kuwepo kwenye album yake sababu ya
mchango aliokuwa nao kwenye muziki na maisha yake.
Kwenye habari nyingine Big Sean ametambulisha application ya simu za
Android kwa ajili ya kumtoa mpenzi wako wa awali kwenye picha na kuiweka
kwenye Instagram,Facebook au Twitter ikiwa na Ujumbe ‘I Don’t F**k With
You’ ambayo ndio nyimbo mpya ya Big Sean katika nyimbo nne mpya
alizotoa kutoka kwenye album yake mpya. Baada ya kumtoa mpenzi wako
kwenye picha, hakikisha unaweka na hii Hashtag#IDFWU
No comments:
Post a Comment