Pole sana.... Witnesz Mwaijaga
Msanii
wa muziki wa miondoko ya bongo fleva nchini Witnesz Mwaijage ambaye
ambaye hivi karibuni alkikuwa mja mzito na alitarajia kujifungua imekuwa
bahati mbaya kwake kutokana na kupoteza watoto watarajiwa hao ambao
walikuwa ni mapacha.
msanii wa bongofleva Witnesz Mwaijaga
Japokuwa
msanii huyu hakupenda kuongelea zaidi juu ya tukio hili la kusikitisha
lakini alijitahidi kuongea na eNewz kutokana na kupoteza watoto hao.
No comments:
Post a Comment