Camera
man wetu amebahatika kuwakuta akinadada wakimfiudisha mtoto kukatika
staili ya khanga moko mitaa ya Makolora huko Tanga na hii hapo juu ndo
picha ambaye camera man aliweza kuphotoa kabla hajazuiliwa na madada
hao na kumtaka aondoke kwani anawaharibia siku.
Bahati
nzuri imetufikia sasa cha kuuliza kwamba mtoto huyu akikua na akawa na
tabia hizo nani atalaumiwa kama sio wao na kwa staili hii wazazi mnatakiwa
kubeba lawama zote za mambo mabaya ya watoto wenu kwani wanasema Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo.
No comments:
Post a Comment